Urusi ngangari
*Yatikisa uchumi wa Marekani kwa ngano, mafuta *Ujerumani yakalia kuti kavu, uchumi hatarini kuporomoka *Bara la Ulaya linategemea gesi kwa asilimia 40 *Putin abadili gia, auza gesi kwa Ruble, hisa zake zapanda DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati Rais wa Urusi, Vladmir Putin, akitangaza kumalizika kwa awamu ya kwanza ya ‘operesheni ya kijeshi’ nchini…