CAG akagua fedha za wahujumu uchumi
*Ni za wale waliokiri makosa, wakalipa faini kwa DPP, sasa yadaiwa fedha hazikwenda serikalini *Ofisa mmoja adaiwa kuchukua kodi ya nyumba iliyotolewa serikalini kwa ‘plea bargaining’ *Wadau waomba fedha za kikosi kazi nazo zikaguliwe DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, ameanzisha ukaguzi wa fedha…