Loliondo yametimia
NGORONGORO Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema mvutano uliopo Pori Tengefu la Loliondo mkoani Arusha kati ya serikali na baadhi ya wananchi wanaoungwa mkono na asasi zisizo za kiraia, una vimelea vya uchochezi kutoka kwa raia wa kigeni. Amewataka raia hao wa kigeni wanaokuja nchini kuishi wafuate na kuheshimu sheria za nchi. Ingawa…