Timu ya Arsenal imeshindwa kuutumia vema uwanyja wake wa nyumbani kwenye kombe la EUROPA baada ya kwenda sare ya bao 1-1 na Atletico Madrid ya Hispania, goli la Arsenal lilifungwa na Mshambuliaje wake hatari Alexandre Lacazette kwenye dakika ya 61, huku goli la kusawazisha la A. Madrid lilifungwa Antoine Griezmann kwenye dakika ya 82.

Arsenal itajirahumu yenyewe kwani ilikuwa na  nafasi pale A. madrid walipokuwa pungufu baada ya Sime Vrsaljko kupewa  kadi nyekundu kwenye dakika 10

Kwa matokeo hayo Arsenal itakuwa imejiweka kwenye sehemu mbaya ya kutinga hatua ya Fainali kwani inatakiwa kwenda kushinda ugenini, ni vigumu kwa A. Madridi lakini tusubiri mpira dakika 90 na chochote kinaweza kutokea.

Matokeo mengine katika mechi za jana ni kwamba Marseille imeifunga Salzburg kwa mabao 2-0, mabao ya mMarseille yalifungwa na Florian Thauvin dakika ya 15 na Clinton Njie dakika ya 63

 

Arsenal (4-3-3):

Ospina 6.5; Bellerin 7.5, Mustafi 6.5, Koscielny 6.5, Monreal 7.5, Ramsey 7, Xhaka 7.5, Wilshere 8.5, Welbeck 7, Ozil 7.5, Lacazette 8
Subs not used: Cech, Holding, Iwobi, Chambers, Maitland-Niles, Kolasinac, Nketiah
Goals: Lacazette 61 
Manager: Arsene Wenger 8 
Atletico Madrid (4-4-2)
Oblak 8; Vrsaljko 3, Gimenez 8, Godin 9, Lucas 6.5; Correa 7 (Savic 75), Saul 7.5, Thomas 7.5, Koke 7, Gameiro 6.5 (Gabi 65), Griezmann 7.5
Subs not used: Werner, Torres, Costa, Vitolo, Olabe del Amo
Goals: Griezmann 82  
Red cards: Vrsaljko 
Manager: Diego Simeone 6 
Referee: Clement Turpin 7
Att: 59,066 

 

 

 

 

By Jamhuri