Mwenyekiti Serikali ya Mtaa mstaafu Kilungule kizimbani kwa rushwa ya sh. 120,000
Katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imefunguliwa kesi ya Jinai Namba (Cc.6600) dhidi ya Bw. Benjamini Chales Chuma kwa mashtaka ya kuomba na kupokea rushwa kinyume na kifungu cha 15(1)(a) na 15(2), cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa [CAP 329 RE 2019] Mshtakiwa akiwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kilungule Halmashauri ya…