NCCR Mageuzi yakataa kushiriki maandamano , yampongeza Rais Mwinyi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Unguja Mwenyekiti Taifa wa Chama cha NCCR – Mageuzi, Haji Ambar Khamis amempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa kusimamia vyema maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Amani na umoja. Ameyasema hayo huko wakati akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali…