Onyo latolewa kwa, wanaoweka ‘vipipi’ sehemu za siri
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ongezeko la dawa asili zinazodaiwa kuondoa changamoto za kike sehemu za siri, ikiwamo kupunguza majimaji, kulegea na kuongeza joto imebainika hazijasajiliwa, pia ni hatari kwa afya. Baadhi ya dawa hizo ni vipipi, mbano na zingine mtumiaji anatumia kunywa kwenye kinywaji kama chai au kupaka sehemu za siri. Wataalamu…