Mwalimu ahukumiwa kwa kutafuna sh.200,000 za uchaguzi mkuu 2015
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Mwalimu wa shule ya msingi Chipukizi Kata ya Igunga wilayani Igunga Mkoani Tabora Andrew Rutabagisha (41) ametiwa mbaroni na Mahakama ya Hakimu Mfawidhi wilayani hapa baada ya kukutwa na kosa la wizi wa fedha za uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kiasi cha sh. 200,000. Mwendesha Mashitaka wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia…