Watoto 11,000 huzaliwa na seli mundu kila mwaka nchini
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amezindua huduma za upandikizaji uloto Katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH)huku akieleza kuwa Serikali imewekeza shilingi bilioni 2.7 kwenye huduma hiyo kwa lengo la kuwasaidia watanzania wa hali zote. Amesema hayo leo Jumatano, Mei 10, 2023 wakati akizungumza na wananchi…