Waziri Simbachawane aitaka TAKUKURU kuwadhibiti wachezeaji rasilimali za nchi
Na Lusungu Helela, JamhuriMedia, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU kudhibiti mianya ya rushwa katika fedha za miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa na serikali nchini ili kuhakikisha thamani ya fedha inaonekana. Ametoa kauli hiyo leo alipotembelea…