‘Tuitunze kwa faida ya sasa na kizazi kijacho’
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi wa Polisi Benjamin Kuzaga amewataka Maafisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali kulinda na kuitunza miti iliyopandwa katika maeneo yao. Kauli hiyo ameitoa leo Februari 14, 2024 wakati akiongoza zoezi la upandaji miti kwa Polisi Mkoa wa Mbeya katika uwanja wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia Mkoa wa…