Jamhuri

Polisi aiba bandarini

*CCTV Camera alizofunga Injinia Kakoko zamuumbua *Tukio lake lazua tafrani kubwa, IGP Sirro alishuhudia *Bandari sasa kama Ulaya, imefungwa kamera 486 *Polisi wafanya mbinu kumtetea mwenzao, wagonga mwamba Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam Mfumo mpya wa ulinzi aliouanzisha katika Bandari ya Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu, Mhandisi Deusdedith Kakoko, umemnasa askari Polisi aliyekabidhiwa jukumu…

Read More

Botswana yanufaika madini, Tanzania yajikongoja…

*Waziri wao ashangaa Watanzania kutochukua fursa waliyoiomba *Ampongeza Rais Magufuli kubadili sheria za madini mwaka 2017 *Katibu Mkuu Madini asema Tanzania haina cha kujifunza Botswana Na Mkinga Mkinga, Aliyekuwa Gaborone, Botswana Wakati Tanzania ikibadili sheria yake ya madini mwaka 2017, Botswana mambo ni tofauti, nchi hiyo inaongoza kwa kuwa na sheria nzuri ya madini pamoja…

Read More

Jaji Sumari majaribuni tena Moshi

Na Charles Ndagulla, Moshi Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, Aishiel Sumari, ameandamwa tena na wananchi wanaokataa asisikilize mashauri yaliyo mbele yake kwa madai kuwa hawana imani naye. Hatua hii inakuja huku kukiwa na taarifa kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Moshi kuwa jaji huyo yuko katika maandalizi ya kustaafu utumishi wa umma kwa…

Read More

Wakazi Dar kupata maji zaidi

Na Mwandishi Wetu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam na Pwani (Dawasa), Mkuu wa Majeshi mstaafu, Jenerali Davis Mwamunyange, amewatoa hofu wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na Pwani kuhusu upatikanaji wa huduma ya maji. Akizungumza na wanahabari baada ya kukamilisha ziara ya kutembelea miradi ya majisafi kwa…

Read More

Wizara isiwapuuze Botswana

Katika gazeti la leo tumechapisha habari za uchimbaji wa madini nchini Botswana na jinsi wakazi wa nchi hiyo wanavyonufaika. Tumempeleka mwandishi Botswana kufuatilia habari hizo na amekuja na maelezo yenye kutia moyo kuwa nchi yetu ikipata watumishi wanaoitanguliza nchi, Tanzania inaweza kufuta umaskini. Botswana inategemea almasi kwa mauzo ya nje kwa asilimia 89 ya pato…

Read More