Jamhuri

MAISHA NI MTIHANI (3)

Majaribu ni mtihani. Kumbuka kuwa bahari shwari haitoi wanamaji stadi. Watu wema wamefinyangwa na mitihani ya maisha yenye sura mbaya. Nakubaliana na Matshona aliyesema: “Roho zenye urembo zinafinyangwa na mapito yenye sura mbaya.” Wakati mwingine tunawajua watu wenye majina makubwa lakini hatujui majaribu makubwa waliyoyapitia. Tunajua umaarufu wao, hatujui hadithi zilizojaa huzuni za maisha magumu…

Read More

Maisha bila changamoto hayanogi (2)

Maisha bila maadui hayanogi. Maadui katika maisha ni kama viungo kwenye mboga, wanayanogesha maisha. Wanayapamba maisha ili yavutie, maadui wanakufanya umtafute na kumkumbuka Mungu usiku na mchana. Kama una maadui wewe ni wa kupongezwa na kama hauna maadui jitafakari upya. Kukosa maadui katika maisha ni kukosa changamoto muhimu za maisha. Watakatifu walioko mbinguni enzi za…

Read More

Ahadi ni ukweli na maendeleo

Nitatumikia nchi yangu na watu wake wote. Nitajielimisha kwa kadiri ya uwezo wangu na kutumia elimu yangu kwa faida ya wote. Nitasema ukweli daima, fitina kwangu mwiko. Hizi ni ahadi tatu kati ya kumi za mwanachama wa TANU.  Ukizitazama kwa utulivu na ukazitafakari ahadi hizi utabaini zimebeba neno UKWELI na kuacha neno UONGO. Si kwa…

Read More

Kampeni za Makonda na chenga ya Dk. Mahiga

Kampeni ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, za kusaka watu ambao wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja imeibua mjadala mkali wa sheria, tabia, na tafsiri ya vyote viwili. Sheria iko wazi: Ni kosa la jinai kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Lakini si kosa nchini Tanzania pekee. Taarifa ya mwaka 2016…

Read More

Kufidiwa hasara

Mtu anaweza kukusababishia hasara katika namna nyingi na katika mazingira tofauti. Mathalani, mtu anaweza kukwangua gari lako, unaweza kumpa mtu kifaa kama pikipiki alete hesabu, badala yake si tu ukashindwa kupata pesa, bali pia na hicho kifaa akaharibu. Mwingine anaweza kukwambia lete mzigo ukafika sehemu husika akawa amepotea au akaukataa mzigo ilhali wewe umekwisha kuingia…

Read More