Mil.300/- za wasanii zilizodhulumiwa zarejeshwa akiwemo marehemu King Majuto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bodi ya Filamu Tanzania imeunda kamati maalum ya kuhamasisha Watanzania kurejesha utamaduni wa kuangalia filamu katika kumbi za sinema. Hayo yamebainishwa na Katibu Mtendaji wa Bodi hiyo, Dkt. Kiagho Kilonzo leo Jumanne Oktoba 4, 2022 wakati akielezea utekelezaji wa shughuli za bodi na mwelekeo wa utekelezaji wa mwaka 2022/2023. Kilonzo…

Read More

Waziri Mkuu:Wizara ya afya ishirikishe kuchangia huduma za tiba

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameiagiza Wizara ya Afya iendelee kuhamasisha taasisi, na wadau kuchangia maeneo muhimu kama ya afya hasa yanayogusa jamii ikiwemo fistula, na saratani ambayo yanasumbua jamii. “Suala la kuchangia maendeleo na utatuzi wa changamoto za jamii ni la Watanzania wote. Kwa umoja wetu tukishirikiana, tutaifanya Tanzania yetu kuwa salama zaidi. Hivyo, nitoe…

Read More

Bondia Class atamba kumchapa Mmexco

Bondia wa Tanzania Ibrahim Class anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa mpinzani wake kutoka Mexico, Gustavo Pina katika pambano la kimataifa la uzito wa feather litakalofanyika kesho (Septemba 30) kwenye ukumbi wa Mlimani City. Akizungumza mara baada ya kupima uzito jana, Pina amesema kuwa kamwe hawzi kupoteza mapmbana mawili mfululizo na amekuja ili kurekebisha rekodi…

Read More