Mkapa amekiri jinai, Katiba inamlinda

Na Deodatus Balile Nimesoma kitabu alichokiandika Rais (mstaafu), Benjamin Mkapa kiitwacho Maisha Yangu, Dhamira Yangu: Rais Mtanzania Akumbuka.” Kitabu hiki kimekuwa gumzo. Sitanii, nilisikia Rais John Magufuli akiagiza kitabu hiki kitafsiriwe katika Kiswahili. Kitabu hiki kimenikumbusha vitabu vinne vya kizalendo; Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania, cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere; A View of Kwame…

Read More

Nyerere niruhusu nimpongeze Magufuli

Wiki hii Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ametimiza miaka 20 baada ya kifo chake. Hatunaye Mwalimu Nyerere kwa miaka 20 sasa. Na kwa kweli nikuombe radhi msomaji wangu kuwa leo kwa upekee na kwa hili tukio la miaka 20 ya kifo cha Mwalimu Nyerere, makala ya ‘Jinsi ya Kuanzisha Biashara Tanzania’ itaendelea wiki ijayo. Niruhusu leo…

Read More

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (31)

Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii katika sehemu ya 30, kwa kuhoji hivi: “Je, unafahamu kiwango cha ushuru wa forodha na taratibu za kulipa ushuru huo unaponunua gari kutoka nje ya nchi? Tafadhali usikose sehemu ya 31 ya makala hii inayolenga kuwafumbua macho Watanzania katika eneo hili la jinsi ya kuanzisha na kufanya biashara Tanzania. Soma…

Read More

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (30)

Wiki mbili zilizopita nilihitimisha makala hii katika sehemu ya 29 kwa kuhoji hivi: “Kwa upande wa kodi za serikali kuu, makala hii inakomea hapa, isipokuwa nitagusia ushuru, stempu, kodi ya michezo ya kubahatisha na Ushuru wa Stempu ya Elektroniki. Hadi sasa nimejadili kodi ya mapato kwa mtu binafsi, kodi ya makampuni, kodi ya Lipa Kadiri…

Read More

Kwaheri Dilunga, pengo halizibiki

Wiki iliyopita tumepata pigo. Mhariri wetu wa Gazeti la JAMHURI, Godfrey Dilunga, amefariki dunia Septemba 17, 2019. Namshukuru Mungu tulipata fursa na nafasi ya kufanya kazi na Dilunga. Dilunga aliajiriwa JAMHURI Media Ltd Februari 1, 2019. Kabla ya hapo alifanya kazi na magazeti ya Raia Mwema na Mtanzania. Alianza kueleza kuwa anapata maumivu ya tumbo…

Read More

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (29)

Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii katika sehemu ya 28 kwa kuhoji hivi: “Je, unafahamu jinsi ya kufanya marejesho ya VAT kwa njia ya mtandao na faida zake? Usikose sehemu ya 29 ya makala hii Jumanne ijayo. Hapa nia ni kuhakikisha unafanya biashara kwa njia sahihi na bila bughudha. Tukutane wiki ijayo.” Sitanii, wiki iliyopita nilihoji…

Read More