Mkapa amekiri jinai, Katiba inamlinda
Na Deodatus Balile Nimesoma kitabu alichokiandika Rais (mstaafu), Benjamin Mkapa kiitwacho Maisha Yangu, Dhamira Yangu: Rais Mtanzania Akumbuka.” Kitabu hiki kimekuwa gumzo. Sitanii, nilisikia Rais John Magufuli akiagiza kitabu hiki kitafsiriwe katika Kiswahili. Kitabu hiki kimenikumbusha vitabu vinne vya kizalendo; Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania, cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere; A View of Kwame…