Madini Vision 2030 kutangazwa Indonesia

Ushirikiano Tanzania, Indonesia waimarishwa Madini ya Kimkakati kupewa kipaumbele Balozi wa Indonesia nchini Tanzania Mhe. Tri Yogo Jatmiko amesisitiza kushirikiana na Tanzania katika kutangaza Mwelekeo Mpya wa Wizara wa VISION 2030: Madini ni Maisha na Utajiri ili kutangaza fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo katika Sekta ya Madini Nchini. Balozi Jatmiko amesema hayo leo Septemba 20,…

Read More

Mji maarufu kwa vito Thailand waiomba Tanzania kuufungulia milango

Wafanyabiashara wa Tanzania wakaribishwa kushiriki Maonesho Oktoba Chanthaburi-Thailand Serikali katika mji mkongwe na maarufu kwenye shughuli na Biashara ya Madini ya Vito wa Chanthaburi nchini Thailand umeiomba Tanzania kuufungulia milango na kuimarisha ushirikiano kwenye uendelezaji wa Sekta Ndogo ya Madini ya Vito. Wito huo unafuatia ziara ya Ujumbe wa Tanzania katika mji huo Septemba 11,…

Read More

Tanzania yainadi minada ya madini kwa wafanyabiashara wakubwa Thailand

Waiomba Serikali iharakishe kurejeshwa kwake, Waonesha nia kushirikiana na Sekta Binafsi Naibu Katibu Mkuu Mbibo awakaribisha kushiriki Jukwaa la Madini Litakalofanyika Oktoba,2023 TGC Yawataka Vijana Nchini kuigeukia Tasnia ya Uongezaji Thamani Madini Na Wizara ya Madini- Bangkok Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo ameinadi Minada ya Madini kwa Wafanyabiashara Wakubwa nchini Thailand ikiwa…

Read More