MCHANGANYIKO
Wakazi Lulanzi walia na kero ya maji, umeme,hospitali ya wilaya yakabiliwa na changamoto hiyo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAKAZI wa Lulanzi pamoja na Hospital ya Wilaya ya Lulanzi, Kata ya Pichandege ,Kibaha , mkoani Pwani wanakabiliwa na kero kubwa ya ukosefu wa maji na kukosa huduma ya nishati ya umeme wa uhakika . Kero hasa ya maji imekuwa kilio kikubwa katika Hospital ya Lulanzi ambayo imekuwa ikitoa raslimali…
NMB, ZASCO zasaini makubaliano kuongeza thamani zao la kimkakati Z’ Bar
na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar BENKI ya NMB na Kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO), zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU), ya ushirikiano, lengo kuu likiwa ni kuliongezea thamani zao la kimkakati la Mwani na kupanua wigo wa mchango wake katika kukuza Uchumi wa Buluu visiwani Zanzibar. Makubaliano hayo yamesainiwa jijini Dar es Salaam Ijumaa, ambako Waziri…
Mloganzila kufanya upasuaji rekebishi wa macho kuanzia Jumatatu
Ndoto za Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba nchini zinaendelea kutimia ambapo safari hii Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila imeandaa kambi ya siku tano ya upasuaji rekebishi wa macho. Kambi hiyo inatarajiwa kuanza Machi 11 hadi 15, katika Hospitali ya Mlonganzila jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Msemaji wa Global Medicare ambao ndiyo…