MCHANGANYIKO
TMA yatoa mwelekeo mvua za masika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa msimu wa mvua za Masika 2024 kwa maeneo yanayopata mvua mara mbili kwa mwaka. Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 22, 2024 jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TMA na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la…
Pinda akagua maandalizi ujenzi wa daraja Mirumba Kavu Mlele
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mlele Mbunge wa Jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda amekagua daraja la muda pamoja na maandalizi ya ujenzi wa daraja la Mirumba lililopo kwenye jimbo lake katika halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi. Daraja hilo linaunganisha Mkoa wa Katavi…
Mtindo mpya wa kutalii unavyoipaisha Hifadhi ya Mikumi
Na Alex Kazenga, JamhuriMedia, Morogoro Urahisi wa kuwaona tembo, simba, twiga na chui katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi kimekuwa kichocheo kwa watalii wa nje kuitembelea wengi wakitokea Zanzibar, Jamhuri limeelezwa. Kamanda wa hifadhi hiyo, Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Augustine Masesa akizungumza na vyombo vya habari hivi karibuni ofisini kwake amesema kwa kipindi kirefu watalii…
Rais Samia akutana na Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais mstaafu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta wakati alipowasili Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 21 February, 2024.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais mstaafu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta mara…
TMA yawanoa wanahabari kuelekea masika 2024
Na Mwandishi Wetu, JakhuriMesia Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekutana na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali kujadili kuhusu utabiri wa msimu wa Masika (Machi –Mei) 2024, unaotarajiwa kutolewa tarehe 22 Februari 2024. Utabiri huu ni mahususi kwa maeneo yanayopata mvua mara mbili kwa mwaka ambayo ni Dar es Salaam, Pwani, Kaskazini…