TMA yatoa mwelekeo mvua za masika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa msimu wa mvua za Masika 2024 kwa maeneo yanayopata mvua mara mbili kwa mwaka. Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 22, 2024 jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TMA na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la…

Read More

Mtindo mpya wa kutalii unavyoipaisha Hifadhi ya Mikumi

Na Alex Kazenga, JamhuriMedia, Morogoro Urahisi wa kuwaona tembo, simba, twiga na chui katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi kimekuwa kichocheo kwa watalii wa nje kuitembelea wengi wakitokea Zanzibar, Jamhuri limeelezwa. Kamanda wa hifadhi hiyo, Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Augustine Masesa akizungumza na vyombo vya habari hivi karibuni ofisini kwake amesema kwa kipindi kirefu watalii…

Read More