Bilioni moja zatumika miradi ya ujirani mwema

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Wananchi wanaoishi jirani na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (Senapa) wamelipongeza Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) kwa kufanikiwa kusimamia kiadilifu miradi ya maendeleo yenye thamani ya Sh 1,034,750,990. Wakizungumza na JAMHURI Digital kwa nyakati tofauti, wakazi wa wilaya jirani na Senapa wamesema miradi yote imejengwa kwa kiwango cha juu….

Read More

Wananchi chukueni tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ‘ Red eyes’

Na Mwandidhi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Afya imewaasa wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa macho mekundu (Red eyes) maambukizi ya Kirusi kwenye ngozi ya juu ya gololi ya jicho yajulikanayo kitaalamu “Viral Keratoconjunctivitis” iliyoibuka nchini hivi karibuni. Hayo yamesemwa leo Januari 15, 2023 na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Wizara ya Afya Prof Pascal…

Read More