MCHANGANYIKO
Bunge laipongeza Serikali kwa usimamizi mzuri wa kukabiliana na maafa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu kwa Usimamizi mzuri wa kukabiliana na Maafa nchini. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Dkt. Joseph Mhagama wakati wa…
Dk Feleshi : Mawakili wa Serikali kila mmoja atimize wajibu wake
Na Mwamvua Mwinyi, jamhuriMedia, Pwani MWANASHERIA Mkuu wa Serikali Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi ametoa rai kwa mawakili wa Serikali , kila mmoja kutimiza wajibu wake na kufuata maadili na miiko kwenye majukumu yao. Aidha amewaasa kuwa waadilifu na kutenda haki wakati wa kutimiza majukumu yao . Akifungua mafunzo ya siku tatu ya Uongozi kwa…
Bilioni moja zatumika miradi ya ujirani mwema
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Wananchi wanaoishi jirani na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (Senapa) wamelipongeza Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) kwa kufanikiwa kusimamia kiadilifu miradi ya maendeleo yenye thamani ya Sh 1,034,750,990. Wakizungumza na JAMHURI Digital kwa nyakati tofauti, wakazi wa wilaya jirani na Senapa wamesema miradi yote imejengwa kwa kiwango cha juu….
Tanzania yapokea meli kubwa ikiwa na watalii zaidi ya 2000 kutoka nchini Norway
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Meli ya watalii ya Norwegian, inayomilikiwa na kampuni ya Norwegian Cruiseline Holdings ya Marekani, kutoka nchini Norway yenye urefu wa mita 294 imewasili katika bandari ya Dar es Salaam ikiwa na jumla ya Wageni 2000 ambapo wageni 1100 walishuka katika bandari ya Zanzibar na kuelekea katika vivutio mbalimbali…
Shanga yatolewa katika mapafu ya mtoto Muhimbili kwa njia ya kamera, wazazi waaswa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wazazi wameaswa kufuatilia michezo ya watoto kwa karibu zaidi na kuwazuia kuweka vitu mdomoni, puani pamoja na maskioni ili kuwaepusha na madhara mbalimbali ikiwemo madhara ya kudumu na kifo. Kauli hiyo imetolewa na jopo la Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Kifua na Moyo, Mapafu na Mfumo wa Upumuaji…
Wananchi chukueni tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ‘ Red eyes’
Na Mwandidhi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Afya imewaasa wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa macho mekundu (Red eyes) maambukizi ya Kirusi kwenye ngozi ya juu ya gololi ya jicho yajulikanayo kitaalamu “Viral Keratoconjunctivitis” iliyoibuka nchini hivi karibuni. Hayo yamesemwa leo Januari 15, 2023 na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Wizara ya Afya Prof Pascal…