MCHANGANYIKO
Wanawake Afrika wampa tuzo ya heshima Balozi Getrude Mongela
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wito umetolewa kwa Wanawake kujiamini na kujipambanua kitaifa na kimataifa kwenye kusimamia ajenda za maendeleo yenye usawa wa kijinsia na kupinga ukatili wa kijinsia na kwa watoto. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito huo wakati wa hafla ya kumkabidhi Balozi Dkt. Getrude…
Watatu wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa kwa kosa la mauaji
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Iringa. Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imewahukumu watu watatu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia na wawili miaka mitatu kwa kosa la kushiriki katika mauaji. Katika hukumu iliyotolewa mbele ya Jaji A.E. Mwaipopo, watuhumiwa akiwemo Zawadi Fabain Mlowe ambaye ameihukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua…
Ziara ya Dk Biteko mikoa ya Lindi, Mtwara yaacha alama
đź“ŚAagiza kituo cha Polisi, Afya, Taa za Barabarani kuwekwa Kijiji cha Msimbati đź“ŚWananchi Kijiji cha Songosongo kupatiwa umeme, Maji, Kivuko đź“ŚAagiza Vijiji vya Msimbati, Madimba na Songosongo kupata gawio la Ushuru wa pHuduma đź“ŚAtaka TANESCO kuja na suluhisho la changamoto ya umeme Lindi/Mtwara Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe….
Stamico: Tutaendelea kuwabeba wachimbaji wadogo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Shirika la Madini la Taifa (Stamico) limesema litaendelea kutoa elimu, vifaa na kuboresha mazingira ya uchimbaji hapa nchini ili rasilimali za Taifa ziweze kusaidia wengi zaidi. Miongoni mwa mafanikio wanayojivunia ni ushirikiano na makubaliano waliyoingia na benki nne kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wachimbaji wadogo nchini. Akizungumza katika Mkutano…
Waziri Mkuu mgeni Rasmi kilele cha Siku ya UKIMWI
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Siku ya Kilele cha Maadhimisho ya UKIMWI Duniani itakayofanyika kitaifa December 1 mwaka huu mkoani Morogogo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge na Uratibu Jenister Mhagama ameeleza hayo leo November 14,2023 Jijini hapa kwenye mkutano wake…
TMA yatoa utabiri wa mvua maeneo yanayopata msimu mmoja
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kufuatia kuanza kwa mvua za msimu Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imeitaka idara ya menejimenti ya maafa nchini kuendelea kuratibu utekelezaji wa  mipango itakayosadia kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza kipindi cha mvua Akitoa taarifa hiyo kaimu mkurugenza Kaimu Mkurugenzi wa TMA, Dk Ladislaus Chang’a, amezitaka malaka husika…