RC ataka utafiti matumizi ya ‘salfa’

TABORA Na Tiganya Vincent Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dk. Batilda Buriani, amezitaka taasisi za utafiti wa wadudu kuchunguza matumizi ya salfa (sulfur) wakati wa kunyunyuzia mikorosho kama haina athari kwenye ufugaji nyuki. Amesema ni muhimu ili makundi ya nyuki yasije yakapotea kutokana na matumizi ya viuatilifu, ikiwamo salfa, ambavyo vinaweza kusababisha vifo kwa…

Read More

Mjue Meja Jenerali aliyefungua milango kwa wanawake JWTZ 

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Ni jambo jema kufanya kitu chenye masilahi mapana kwa nchi yako. Kama hivyo ndivyo, ninaomba tusafiri sote kupitia maandishi ya makala hii ili kumfahamu Meja Jenerali Zawadi Madawili. Madawili ni mwanamke wa kwanza hapa nchini kuhudumu katika cheo kikubwa cha Meja Jenerali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)….

Read More

Kusaka kupendwa kumeiumiza nchi

Jiji la Dar es Salaam, na bila shaka majiji na miji mingine, hali ya ustaarabu mitaani imerejea. Mitaa inapitika na thamani kwa waenda kwa miguu imerejeshwa. Bahati nzuri Watanzania wengi ni waelewa. Wapo waliodhani mpango wa kuwaondoa wamachinga katika maeneo yasiyostahili usingefanyika kwa utulivu.  Tunashukuru wengi walielewa, hivyo hapakuwapo vuta nikuvute mbaya. Hii ina maana…

Read More