Vitalu vya uwindaji yale yale
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Ugawaji wa Vitalu vya Uwindaji wa Kitalii kwa njia ya kielektroniki umelalamikiwa na sasa baadhi ya wadau wenye tasnia hiyo wameshauri mnada urejewe. Wanasema kurejewa huko si tu kwamba kutakuwa ni kuwatendea haki waombaji waliovikosa kwa mizengwe, bali kutaiwezesha serikali kupata mapato makubwa na wawekezaji makini. Wadau hao wanamuomba…