Dahua Teknology yaipongeza serikali ya Rais Samia

Na Mussa Augustine, Jamhuri Kampuni ya Dahua Teknoloji inayojihusisha na uuzaji wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vifaa vya ulinzi imesema serikali ya awamu ya sita imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuweka Mazingira rafiki kwa Wawekezaji hali ambayo imechochea Wawekezaji Wengi kuja kuwekeza nchini Tanzania. Akizungumza na Jamhuri Meneja bidhaa wa Kampuni hiyo Samsoni Ibrahim alisema kuwepo kwa…

Read More