Kitaifa
DKT. Nchemba ateta na mabalozi wa Canada na Japan
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wawili, Balozi wa Canada na Japan kwa nyakati tofauti ambapo walizungumzia ushirikiano kati ya nchi hizo katika sekta mbalimbali za uzalishaji ikiwemo sekta ya kilimo, mifugo, uvuvi, na sekta binafsi ili kukuza uchumi. Mazungumzo hayo yamefanya kwenye Ofisi Ndogo za…
Tanzania,Angola zasaini hati za makubaliano
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Angola zimesaini Hati mbili za Makubaliano (MoUs) za kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja (JPC) na Hati ya Ushirikiano kati ya Chuo Cha Diplomasia cha Tanzania (CFR) na Chuo cha Venancio de Moura cha Angola. Makubaliano hayo yamesainiwa leo na Waziri wa Mambo…