Kitaifa
Namoto aelezea mafanikio na changamoto za wamachinga 2022
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Chama cha Wafanyabiashara Ndogondogo Mkoa wa Dar es Salaam (KAWASO),kimeishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa jitihada za kuwaboreshea mazingira ya kufanya kazi zao ikiwemo kuwaweka kwenye mpangilio mzuri pamoja na kujenga masoko ya kisasa. Akizungumza na Jamhuri Mwenyekiti wa KAWASO Namoto Yusufu Namoto, amesema kuwa mwaka 2022 wamachinga wamepata mafanikio lukuki…
NMB yaanzisha ufunguaji akaunti ndani ya dakika mbili
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Zama mpya ya huduma za kibenki imejili nchini baada ya Benki ya NMB jana kuzindua suluhisho ya kisasa inayomwezesha mteja kufungua akaunti kidijitali na kuanza kuitumia ndani ya dakika mbili tu. Hatua hiyo kubwa inaongeza msukumo mpya katika jitihada za taifa za ujumuishwaji wa kifedha na upatikaji kiurahisi wa huduma za kidijitali…
CCM si Shwari
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Kwa muda mrefu sasa vita ya mamlaka bado inaendelea kuathiri mwenendo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku ikizidi kuchagizwa na vitendo vya fitina, uongo na uzushi. Licha ya kukemewa na hatua mbalimbali za kinidhamu na kimaadili kuchukuliwa kwa baadhi ya wanachama, lakini vitendo hivyo bado vimekuwa kama saratani isiyotibika, kwa sababu vinazidi…
CCM washauriwa kutopoteza muda kwa malumbano
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amewataka wana CCM kutopoteza muda kwa malumbano na majibizano kwa kuwa kuna kazi muhimu mbele yao ya kujenga Chama na nchi. Amesema Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi wameanza…
FCC yawaomba wafanyabiashara kuzingatia ubora kwenye bidhaa zao
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Tume ya Ushindani ( FCC), imetoa wito kwa Wazalishaji wa bidhaa hapa nchini kuhakikisha bidhaa zao wanazifanya ziwe na mwonekano mzuri ili kuwavutia wateja pamoja na kukabiliana na ushindani wa soko uliopo kwa sasa. Rai hiyo imetolewa leo Desemba 9, 2022 na Mkurugenzi Mkuu wa Tume hiyo Dkt William Erio wakati akizungumza…