Kitaifa
ACT-Wazalendo yamshauri Jaji Biswalo kujiuzulu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Msemaji wa Sekta ya Katiba na Sheria ya ACT-Wazalendo, Victor Kweka kuwa amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume ya majaji ili kupitia malalamiko ya wananchi waliolipishwa fedha kwa kukiri makosa na kulipa fedha serikalini. Hatua hiyo inatokana na kuibuka tena kwa taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za…
Tanzania mfano wa kuigwa duniani kwa kudhibiti mfumuko wa bei
Makamu Rais wa Benki ya Dunia wa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Victoria Kwaka, ameipongeza serikali ya Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta “miujiza” kwenye uchumi. Kwaka ameipongeza Tanzania kwa utulivu wa uchumi wake wakati nchi mbalimbali duniani zikiwa kwenye msukosuko wa uchumi unaotokana na vita ya Ukraine na sababu…
Rais Samia awashika mkono akina mama waliojifungia njiti
Rais Samia ametoa msaada wa mahitaji muhimu kwa mama waliojifungua watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni, Kigoma. Mahitaji hayo yamekabidhiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Angellah Kairuki kwa niaba ya Rais Samia, mara baada ya kuweka jiwe la Msingi Jengo la kutolea Huduma za Wagonjwa wa Dharura (EMD) na…
Makampuni ya Japan yavutiwa na kahawa ya Tanzania
Makampuni ya Japan yameonesha kuvutiwa na kahawa ya Tanzania katika maonesho ya Kimataifa ya Kahawa Japan yajulikanayo kama 2022 Japan Specialty Coffee Conference & Exhibition yaliyofanyika jijini Tokyo tarehe 12 – 14 Oktoba, 2022. Maonesho hayo ambayo yalishirikisha taasisi zipatazo 235 zinazoshughulika na kahawa kutoka kote duniani, yaliandaliwa na kusimamiwa na Taasisi ya Kahawa ya…