Utapeli wa ardhi Dodoma

Mjane miaka 84 alizwa, mabaraza ya ardhi yakithiri rushwa Lukuvi aombwa kutatua mgogoro Mkazi wa Kijiji cha Handali, Wilaya ya Dodoma Vijijini, Hilda Mzunde (84), amemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, kuupatia ufumbuzi mgogoro wa ardhi kati yake na kijana Charles Kwanga anayefanya mikakati ya kumdhulumu kiwanja chake. Akiongea na…

Read More

Kilichomponza Nape

Duru za siasa kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, zimeanza kutaja chanzo cha aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, kupoteza wadhifa huo. Vyanzo mbalimbali vinaonesha kuwa vumbi la Uchaguzi Mkuu la Mwaka 2015 bado linaendelea kutimka ndani ya CCM. Baada ya chama hicho kumfukuza uanachama Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM,…

Read More

Moyo, figo kunusuru maisha

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) iko katika maandalizi ya mapendekezo ya muswada kwa ajili ya kupeleka bungeni ili liridhie na kupitisha sheria itakayoweza kuruhusu mtu kuandika wosia ili viungo vyake kutumika baada ya kufariki. Viungo hivyo ni pamoja na moyo, figo ambavyo vinaweza kutumika kumuokoa maisha ya wagonjwa wenye uhitaji wa viungo hivyo. …

Read More

ECA ya vijana kuzaliwa Z’bar

Mwishoni mwa 2010 na mwanzoni mwa 2011, dunia ilishuhudi mfululizo wa maandamano na kuanguka kwa tawala kongwe katika ulimwengu wa Kiarabu. Maandamano hayo yanaitwa “Arabian Spring.”  Yalianza kwa Mapinduzi ya Tunisia ambayo yalifanyika kwa hisia binafsi ya Mohamad Bouazizi Desemba 18, 2010 katika maandamano ya rushwa kwa polisi na matibabu kwa wagonjwa. Kwa hakika “Arabian…

Read More

Mwisho wa kuibiwa madini waja

Huenda huu ukawa ndiyo mwisho wa Tanzania kuibwa rasilimali zake hususani madini, kutokana na Bunge kuingilia kati na kutaka kufahamu ni kwa namna gani nchi inanufaika na biashara ya madini. Mwisho huu unatokana na Spika wa Bunge, Job Ndugai, na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Deusdedith Kakoko, kuonesha wasiwasi juu ya…

Read More

Mwalimu aivuruga shule Geita

Mwalimu wa Shule ya Msingi Kasamwa, Magreth Magesa, anadaiwa kusababisha migogoro ya kiutendaji shuleni hapo, hali iliyosababisha kuhamishwa kwa Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, James Magela. JAMHURI kupitia kwa vyanzo vyake, limebaini kuwa Mwalimu Magreth Magesa amekuwa ni mtovu wa nidhamu kwa kipindi kirefu huku mamlaka husika zikimkingia kifua kwa kutokumwajibisha. JAMHURI limebaini kuwa Mwalimu…

Read More