YUTONG yazindua basi la kisasa

Kampuni ya kutengeneza mabasi aina ya Yutong kwa kushirikiana na Benbros Motors Ltd, imezindua basi la kisasa lenye uwezo mkubwa ili kupunguza ajali za mara kwa mara. Akizungumza katika uzinduzi huo, Afisa Masoko, Albert Currussa, wa Benbros Motors Ltd anasema kwamba kampuni hiyo imeingiza sokoni gari hilo F12Plus lenye uwezo wa kuhimili barabara za aina…

Read More

Kodi kikwazo cha uchumi

Serikali imetakiwa kuboresha mipangilio ya ulipaji kodi ikiwamo kuondoa tozo zisizokuwa za ulazima, ili kutengeneza mazingira rafiki kwa wawekezaji pamoja na kuepuka kupungua kwa mzunguko wa fedha. Akifanya mahojiano maalumu na JAMHURI, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mkoani Morogoro, Professa Prosper Ngowi, anasema kukosekana kwa fedha katika mzunguko kunatokana na mpangilio wa sera za…

Read More

Bunduki 13 zanaswa familia ya Mbunge

Watu kadhaa, wakiwamo wenye nasaba na Mbunge wa Mbarali, mkoani Mbeya, Haroon Mulla (CCM), wamekamatwa katika operesheni maalumu wakituhumiwa kujihusisha na ujangili. Katika operesheni hiyo, inayoongozwa na kikosi kazi kinachovishirikisha vikosi vya ulinzi na usalama, bunduki 13 za aina mbalimbali zimekamatwa kwa ndugu zake Mulla. Mtoto wa Mulla, anayetajwa kwa jina la Fahad, ni miongoni…

Read More

Kiwanda cha Bakhresa chachafua mazingira

Maisha ya wananchi wanaoishi jirani na Kiwanda cha Bakhresa cha kuchakata matunda kilichopo katika Kijiji cha Mwandege, Mkoa wa Pwani, yapo hatarini kutokana na uchafuzi wa mazingira unaofanywa na kiwanda hicho. Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wananchi hao wanasema maisha yao yapo hatarini kutokana na mfumo wa majitaka unaotiririsha maji kutoka ndani ya kiwanda hicho…

Read More

Waajiriwa Uhamiaji bila kupewa barua

Ikiwa ni mwezi wa tano sasa vijana 300 walioajiriwa katika Idara ya Uhamiaji wakiwa hawajalipwa mishahara, imebainika kuwa chanzo ni kutopewa barua zao za ajira. Rais John Magufuli, akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari Ikulu, Dar es Salaam wiki iliyopita, alisema askari polisi na wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama walioajiriwa hivi karibuni…

Read More

Polisi ‘mwizi wa magari’ afukuzwa kazi

Jeshi la Polisi limemfukuza kazi askari wake, PC Hamad Mud wa Kituo cha Polisi Sanya Juu, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, akitajwa kuwa kinara wa mtandao wa wizi wa magari. Kwa uamuzi huo, Mud anasakwa ndani na nje ya nchi ili afikishwe mahakamani. Amekuwa akihusishwa na wizi wa magari kutoka Kenya, Rwanda na Uganda. Anatajwa kuwa na uhusiano…

Read More