Tanzania kuendelea kishirikiana na Mahakama ya Kimataifa ya Haki
Tanzania imeahidi kuendelea kushirikiana na Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ili iweze kunufaika zaidi na kazi za Mahakama hiyo yenye hadhi ya juu duniani. Ahadi hiyo imetolewa leo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Africa Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) wakati wa mazungumzo na Jaji wa Mahakama hiyo, Jaji Abdulqawi Yusuf…