Mnyukano Jiji, TARURA
DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeingia kwenye mvutano mkali wa kimasilahi na Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Dar es Salaam kuhusu ukusanyaji wa tozo za maegesho batili (wrong parking) ya magari. Wakati mvutano huo ukijitokeza, kwa miezi kadhaa sasa halmashauri ya jiji hilo…