‘Sulfur’ mbovu hatarini kusambazwa

*Ni tani 70,000 zilizokamatwa na kuthibitishwa ni feki *Bodi ya Korosho yazirejesha kwa mzabuni zipelekwe kwa wakulima *Mkurugenzi Mkuu CBT azungumza, asema zimejadiliwa Dodoma Dar es Salaam Na Alex Kazenga Takriban tani 70,000 za viuatilifu aina ya ‘sulfur’ zilizokamatwa mkoani Lindi mwaka jana na kuthibitishwa kuwa ni feki, huenda zikarejeshwa sokoni; JAMHURI limedokezwa. Uamuzi wa…

Read More

TEMESA katikati ya dimbwi la lawama

*Wananchi wadai kuna vivuko vinaendeshwa kama mali binafsi *Abiria walazimika kumsubiri mkatisha tiketi kwanza apeleke fedha benki  DAR, UKEREWE Na Waandishi Wetu Baadhi ya watumiaji wa Kivuko cha MV Ujenzi kinachotoa huduma kati ya Kisorya, Bunda na Ngoma wilayani Ukerewe, wamelalamikia utaratibu mbovu wa ukataji tiketi na kutozwa gharama zaidi ya zilizopangwa.  Wakizungumza kwa nyakati…

Read More

Mgogoro wa fedha wafukuta kwa Wasabato

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Washiriki wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania wanawatuhumu baadhi ya viongozi wao kwa tuhuma mbalimbali ikiwamo ubadhirifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka. Tuhuma hizo zimesababisha mgogoro wa muda mrefu na kusababisha washiriki hao watano; Nathanael Bhubuli, Maila Makambi, Nehemiah Matiku, John Augustine na Machibya Mayala kuziwasilisha kwa…

Read More

Benki yadaiwa kugeuka mumiani

*Yajipanga kuipiga mnada ‘nyumba ya Serikali’ *Ni kinyume cha vipengele vilivyowekwa kisheria *Mfanyabiashara adai mkopo wageuzwa ndoana DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Nyumba iliyokuwa ikimilikiwa na serikali imo hatarini kupigwa mnada kwa kile kinachodaiwa kuwa mmiliki wake kushindwa kulipa mkopo aliouchukua benki; JAMHURI limebaini. Nyumba hiyo iliyopo katika Kitalu Na. 1829, Msasani Peninsula, Dar…

Read More

RIPOTI MAALUMU Majangili wabuni mbinu mpya

*Wavutiwa na idadi kubwa ya wajane kando ya Hifadhi ya Serengeti  *Wawatumia wajane hao, ‘nyumbantobhu’ kuhifadhi nyara, zana *Mjane ahoji; ‘kiherehere cha nini ilhali bwana wangu haibi mali ya mtu ila nyara za Serikali?’ Mara Na Antony Mayunga  Wakati serikali ikipambana kuimarisha sekta ya maliasili na utalii inayochangia takriban asilimia 17 ya pato ghafi la…

Read More