‘Sulfur’ mbovu hatarini kusambazwa
*Ni tani 70,000 zilizokamatwa na kuthibitishwa ni feki *Bodi ya Korosho yazirejesha kwa mzabuni zipelekwe kwa wakulima *Mkurugenzi Mkuu CBT azungumza, asema zimejadiliwa Dodoma Dar es Salaam Na Alex Kazenga Takriban tani 70,000 za viuatilifu aina ya ‘sulfur’ zilizokamatwa mkoani Lindi mwaka jana na kuthibitishwa kuwa ni feki, huenda zikarejeshwa sokoni; JAMHURI limedokezwa. Uamuzi wa…