Mamlaka za nchi iokoeni Ngorongoro
Mwaka mmoja uliopita tulichapisha makala hii ya aliyekuwa mmoja wa wakurugenzi wa JAMHURI, Mkinga Mkinga – akishawishi mamlaka za nchi ziinusuru Ngorongoro. Maandishi yake yameendelea kuwa muhimu hasa wakati huu ambao tishio la kuiangamiza hifadhi hiyo ya kipekee duniani likiongezeka. Kutokana na umuhimu wa maudhui, na katika kumuenzi Mkinga, tumeona ni vema tuirejee makala hii…