Mamlaka za nchi iokoeni Ngorongoro

Mwaka mmoja uliopita tulichapisha makala hii ya aliyekuwa mmoja wa wakurugenzi wa JAMHURI, Mkinga Mkinga – akishawishi mamlaka za nchi ziinusuru Ngorongoro. Maandishi yake yameendelea kuwa muhimu hasa wakati huu ambao tishio la kuiangamiza hifadhi hiyo ya kipekee duniani likiongezeka. Kutokana na umuhimu wa maudhui, na katika kumuenzi Mkinga, tumeona ni vema tuirejee makala hii…

Read More

TAKUKURU wambambikia kesi mwandishi

*Watumia taarifa walizopewa na JAMHURI kutaka kuuzima ukweli *Kamanda wa TAKUKURU Arusha amchuuza Mhariri, amlengesha *Ashiriki ubambikiaji kesi huku mtuhumiwa akitamba kuiweka mfukoni Serikali *Naibu Mkurugenzi Mkuu bila kusikiliza asema kesi iendelee, ni jinai ARUSHA Na Mwandishi Wetu Katika hali ya kusikitisha, Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Arusha,…

Read More