Michezo
Serikali yazindua rasmi ‘Chato Samia Cup 2023’
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato SERIKALI imezindua rasmi mashindano ya mpira wa miguu “Chato Samia Cup 2023” kwa lengo kutambua jitihada kubwa za rais Samia Suluhu Hassan,katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye wilaya ya Chato mkoani Geita. Aidha Chama cha mpira wa miguu wilayani hapa (CDFA) kimetoa baraka zote za mchezo huo ambao utalindima…
NMB ya kwanza kusajili usajli wanachamaa Yanga
Kwa kutambua umuhimu wa sekta ya michezo nchini, leo @nmbtanzania imeingia makubaliano na timu ya @yangasc na kuwa Benki ya kwanza nchini kuwawezesha mashabiki na wanachama wa Yanga kupata kadi za uanachama kupitia matawi yote ya NMB yaliyoenea nchi nzima. Baada ya kusaini makubaliano haya, ushirikiano wa NMB na Yanga utalenga maeneo yafuatayo: Kutumia mtandao…
Mloganzila yajipanga kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza kwa watumishi wake
Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imezindua Mloganzila Afya Jogging Club kwa lengo la kuhamasisha watumishi kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao na kukabiliana na magonjwa yasiyo ambukiza. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Club hiyo kwa niaba ya Naiba Mkurugenzi Mtandaji, Mkurugenzi Msaidia wa Rasilimali Watu na Utawala Bw. Abdalla Kiwanga amesema kuwa lengo la klabu…
JK awapongeza Ali Kiba,Mbwana Samatta, awapa ushauri
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewapongeza mwanasoka wa kulipwa wa kimataifa Mbwana Samatta na mwanamuziki nyota Ali Kiba kwa kuanzisha na kuendesha taasisi isiyo ya kiserikali ya SAMAKIBA Foundation ambayo kila mwaka imekuwa ikisaidia masuala mbalimbali katika jamii. Dkt.Kikwete ametoa pongezi hizo katika hafla ya kukabidhi vifaa vya uzazi…
Baobab Queens kuwa timu ya wanawake ya Azam FC
Uongozi wa Azam FC umeingia makubaliano na timu ya mpira wa miguu ya wanawake kutoka Dodoma, Baobab Queens na rasmi itakua ni timu ya wanawake ya Azam FC. Azam wamefikia makubaliano hayo ili kutekeleza agizo la kikanuni la leseni za vilabu kutoka shirikisho la soka barani Afrika, CAF, ambapo Kwa mujibu wa kanuni mpya za…