Tujiandae kugharamia bajeti yetu kutoka ndani
Wiki iliyopita Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango, aliwasilisha kwa wabunge mapendekezo ya serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na kiwango cha ukomo wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2020/21. Katika wasilisho lake, Dk. Mpango alieleza kuwa kwa mwaka ujao wa fedha serikali inapanga kukusanya na kutumia Sh trilioni 34.879, ikiwa ni ongezeko la kama…