Lowassa: Anayejua Richmond Kikwete

.Wasaidizi wake wasema “Mzee sasa ana amani” NA WAANDISHI WETU Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa, kwa mara ya kwanza amemtaja Rais Jakaya Kikwete ndiye anayefahamu kwa kina mkataba wa Kampuni ya Richmond uliosababisha nchi kupata hasara ya mamilioni. Lowassa anasema, “mamlaka ya juu” ukiachilia mbali yeye aliyekuwa waziri mkuu wakati huo mkataba ukisainiwa ilikuwa inajua…

Read More

Wilaya, majimbo si suluhu ya matatizo

Namshuruku Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia afya njema na amani. Ni vyema tukamshukuru Mungu kila wakati kwa sababu tunaendelea kuyashuhudia mapenzi yake mema kwetu. Pili, niombe radhi kwa sababu lugha ya Kiswahili ni ngumu, hivyo katika kuandika inawezekana nikakosea hapa na pale ingawa si nia yangu kufanya hivyo. Ikitokea ikawa hivyo, basi ni bahati mbaya na…

Read More

Haki ya Mtanzania inapogeuzwa anasa

Katika kipindi cha miaka kadhaa sasa, Watanzania wengi wanaishi kwa manung’uniko yanayotokana na kukosa haki zao za msingi huku waliopatiwa jukumu hilo wakiwabeza. Tumeshuhudia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) iliporatibu upatikanaji wa vitambulisho hivyo, huku wananchi wengi wakishindwa kuvipata.  Hakuna ubishi kwamba vitambulisho hivyo viliibua vurugu na hata kuhatarisha amani kwa baadhi ya maeneo….

Read More

Vyombo vya habari ni UKAWA?

Mwanzoni mwa wiki iliyopita nilikuwa miongoni mwa watu waliojitokeza kuitumia haki yao ya msingi ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kwa mfumo wa kielektroniki (BVR), lakini kutokana na vituko vinavyoendelea haikuwezekana kuandikishwa. Kituo nilichokuwa nimepewa namba ya kuandikishwa kipo jirani kabisa na ninapoishi, ni ofisi ya serikali ya mtaa wa Mivumoni, Tegeta –…

Read More

Nani asiyependa kumeguka CCM inayobaka demokrasia?

Historia inaonesha kuwa vipindi fulani katika mustakabali wa nchi unalazimisha kupima nini ni janga zaidi ya jingine. Marehemu Samora Machel na Frelimo walikubali kutia saini Mkataba wa Nkomati wa ushirikiano na makaburu kama mkakati wa kujinusuru, na kutoa nafasi kukabili janga kubwa kuliko yote wakati huo, la kuondolewa Serikali ya Frelimo na Renamo ikisaidiwa na…

Read More

Lowassa kuhamia Chadema hajabadili uraia

Edward Ngoyai Lowassa kaamua kufanya mabadiliko ya kweli ya siasa hapa nchini. Kakihama chama chake cha siku zote na kuingia kwenye chama kingine, chama kikuu cha upinzani hapa nchini – Chadema. Huo ni uamuzi ambao Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kaamua kuupa jina la kubadilisha gia hangani. Tukio hilo limetazamwa kwa hisia mbalimbali zilizo tofauti…

Read More