Uraia siyo uzalendo

Na FX Mbenna BRIG GEN (MST)   Kuna tofauti kubwa kati ya maneno haya mawili – uraia na uzalendo. Hapa nchini Tanzania upo mkanganyiko mkubwa wa utumiaji usio sahihi wa maneno mbalimbali.  Baadhi yetu tunaona neno uraia ni sawa tu na neno uzalendo, hivyo maneno haya yanaweza kutumika kama vile yote mawili yana maana ile…

Read More

Kweli Rais Kikwete kachoka

Rais Jakaya Kikwete ameshachoka. Huhitaji kuwa mnajimu kulijua au kuliona hilo. Mwaka jana akiwa ughaibuni, mbele ya viongozi wengine wa Afrika na dunia, hakusita kuwathibitishia kuwa kachoka. Akasema anasubiri kwa hamu muda wake wa kung’atuka uwadie arejee kijijini kuendelea na maisha ya kawaida. Alimradi mwenyewe keshatuthibitishia kuwa kachoka, tulichobaki nacho ni kuushuhudia huo uchovu wake….

Read More

Matumizi ya mtandao yanakosa busara sasa

Taarifa za uongo za hivi karibuni zilizosambaa kueleza kuwa Mama Maria Nyerere ameaga dunia zimeibua maswali kuhusu wajibu na umakini wa baadhi ya watu wanaotumia teknolojia ya habari na mawasiliano. Aliyeanzisha uongo huo ni dhahiri alifahamu kuwa anaandika uongo kwa sababu hakujitambulisha, na tunafahamu kuwa waongo siku zote hupendelea kujificha. Alichofanikiwa kufanya ni kuwapa hofu…

Read More