Funga ya Ramadhan, hukumu, fadhila, adabu zake
Utangulizi
Sifa zote njema zinamstahikia Allah (Subhaanahu wa Ta’ala) na sala na salamu zimfikie Mtume wake (Swalla Allahu alayhi Wasallam) pamoja na ndugu na maswahaba zake.
Utangulizi
Sifa zote njema zinamstahikia Allah (Subhaanahu wa Ta’ala) na sala na salamu zimfikie Mtume wake (Swalla Allahu alayhi Wasallam) pamoja na ndugu na maswahaba zake.
Sehemu ya nne, Dk. Felician Kilahama alieleza namna wezi wa rasilimali za umma wanavyokwenda vijijini na kujitwalia maeneo ya misitu kwa mwavuli wa uwekezaji, lakini baadaye huishia kukata miti na kutoweka. Sehemu hii ya tano anaeleza namna vijiji vinavyonyonywa. Endelea
“Unyonge wetu ni wa aina mbili, unyonge wa kwanza ulio mkubwa zaidi ni unyonge wa moyo; unyonge wa roho. Unyonge wa pili ndiyo huu wa umaskini wa kukosa chochote. Ni kweli hatuna chochote, hatuna nguvu.” Haya ni maneno ya Mwalimu Nyerere alipowahutubia walimu katika Sherehe za Vijana kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Mei 30, 1969.
Mfululizo huu wa makala kuhusu Loliondo ulianza wiki mbili zilizopita. Kwenye toleo la mwisho, tuliishia kwenye kipengele kinachopingana na propaganda za uongo kwamba Serikali imechukua ardhi ya vijiji. Mwandishi anasema baadhi ya madiwani na NGOs zimetumiwa kueneza uongo huo kwa maslahi yao ya kisiasa na kiuchumi. Endelea.
Mwaka huu pekee, Tanzania imepokea marais wa mataifa mawili makubwa yanayoongoza kwa uchumi imara duniani. Rais Xi Jinping wa China alikuwa wa kwanza, na baadaye amefuatiwa na Rais Barack Obama wa Marekani. Ujio wa viongozi hao, pamoja na kauli za kwamba wanataka kufungua milango ya kushirikiana kiuchumi, ni ukweli ulio wazi kwamba Tanzania imeendelea kurusha ndoana ya kuomba misaada. Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, katika hotuba yake ya Februari 5, 1967 jijini Dar es Salaam, alieleza athari za nchi kuwa omba-omba. Sehemu hii ya hotuba inapatikana kwenye kitabu chake cha Ujamaa ni Imani (2). Endelea.
Kabla ya kuzungumzia mada ya leo, ninapenda kuwashukuru wasomaji wote wa Safu hii walionipigia simu, kunitumia ujumbe mfupi wa maneno (SMS) na e-mail, baadhi wakinipongeza, kunishauri na wengine wakinikosoa kuhusu makala niliyoandika wiki iliyopita, iliyobebwa na kichwa cha habari, “Watanzania na imani potofu ziara ya Obama.” Nimejifunza mengi kutoka kwao.