FASIHI FASAHA

Haki, ukweli ni nguzo za amani – 4

Katika makala tatu zilizotangulia nimezungumzia baadhi ya viongozi wa dini, siasa na wa serikali kutupilia mbali maadili na miiko ya uongozi na kuwa chanzo cha kutaka kuvunja amani ya nchi. Pili, haki na ukweli ni nguzo za amani.

Read More

KAULI ZA WASOMAJI

Gharama KCMC zinatisha

Serikali inajitahidi kuboresha huduma kwa wananchi wenye kipato cha chini, lakini baadhi ya hospitali haziko kwa ajili ya huduma za tiba ila ni biashara tu! Ni Watanzania wangapi wanaweza kumudu gharama za sasa za KCMC kama sio kufa kwa wagonjwa?

Mtanzania mzalendo, Moshi

Read More

Unaweza kuzalisha fedha za kutosha

Wiki iliyopita niliandika makala yenye kichwa “Imani yako inaakisi fedha zako.” Kama ilivyo ada nimepokea mirejesho mingi kwa barua pepe, simu za miito na ujumbe mfupi. Wasomaji wamekuwa na mitazamo tofauti – wengine wakinipongeza na wengine wakionesha dukuduku.

Read More

NAONGEA NA BABA

Nani anaharibu nchi yetu?

Naikumbuka siku uliyofariki Mwalimu. Nilikuwa mdogo, mwanafunzi pale Sekondari ya Baptist. Siku uliyofariki Baba wa Taifa letu, na siku kadhaa zilizofuata, kulijaa utulivu wa hali ya juu, lakini utulivu huo haukudumu maana palianza kusikika vilio vya hapa na pale.

Read More