Hifadhi ya Ngorongoro itadumu?

DAR ES SALAAM NA THEONESTINA KAIZA-BOSHE Katika makala iliyopita nilizungumzia mazuri, shutuma na ya kujifunza kuhusu hatua ya serikali kuhamisha Wamasai kwa hiari kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCA) kwenda Kijiji cha Msomera, Handeni mkoani Tanga. Nikaipongeza kwa tukio hilo la kihistoria na la kipekee. Hata hivyo, kuna jambo kubwa sikuzungumzia katika makala hiyo;…

Read More

Siku ya Kiswahili duniani; ni fursa au changamoto? – 2

DAR ES SALAAM Na Abbas Mwalimu Wiki iliyopita makala hii ilichambua umuhimu wa Kiswahili katika nyanja tofauti tofauti. Leo tuendelee kwa kukichambua jinsi kilivyotumika pia kama lugha ya ukombozi katika nchi za Msumbiji, Zimbabwe na Afrika Kusini (wakati wa ubaguzi wa rangi), Uganda, Rwanda, Burundi, Afrika ya Kati na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). …

Read More