Kinana:Demokrasia imechangia CCM kukaa madarakani muda mrefu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrhman Kinana ametaja sababu tatu za kwanini Chama hicho kimekaa madarakani kwa muda mrefu na moja ya sababu ni uwepo wa demokrasia ya uhuru watu kujieleza na kutoa maoni yao. Kinana ametoa sababu hizo leo Julai 25,2022 alipokuwa akizungumza na wana CCM Mkoa wa Katavi…