MAANDIKO YA MWALIMU NYERERE

 

Uongozi Wetu na  Hatima ya Tanzania (4)

Huu ni mtiririko wa maandishi yaliyomo kwenye kitabu cha Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1994. Sehemu iliyopita, Mwalimu alisema, “Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili – ya Zanzibar na ya Tanganyika – kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar. Wapendao Utanganyika watakuwa wazalendo zaidi, badala ya kuwa wasaliti, wakiazimia Afrika ya Mashariki iliyoungana kuwa Nchi Moja, kuliko Tanzania iliyotengana ikawa nchi mbili.” Endelea…..

Siku ya pili yake tarehe 15:8:1993, Wabunge wenye hoja yao, na wengine zaidi, waliomba tena kuja Msasani ‘Tunywe chai’. Na baada ya mazungumzo nao ilikuwa ni dhahiri kabisa kwangu, kwamba hata kama hawakuondoa hoja yao, (wala mimi sikuwaomba waiondoe), wataitumia kutoa dukuduku zao tu; hawataitumia kung’ang’ania kudai Serikali ya Tanganyika.

Read More

MISITU & MAZINGIRA

Tupande miti kukuza uchumi wetu (3)

Sehemu ya pili ya makala hii, mwandishi alieleza juu ya kuletwa nchini mbegu za mikalatusi kutoka Australia (ambako kuna zaidi ya aina 600 ya miti hiyo) kwa ajili ya kufanyiwa majaribio. Endelea…

Read More

KONA YA AFYA

Vidonda vya tumbo na hatari zake (Hitimisho)

Katika sehemu ya 17 ya makala haya, Dk. Khamis Zephania, pamoja na mambo mengine, alielezea dawa za viua vijasumu, vizima asidi na upasuaji. Sasa endelea kumfuatilia zaidi katika sehemu hii ya mwisho…

Karibu watu 300,000 kote duniani hufanyiwa upasuaji kutokana na madhara yaletwayo na vidonda vya tumbo ambayo huzalisha magonjwa mengine. Vyakula: Kipengele kikubwa katika matibabu ni kula mlo sahihi na tabia nzuri katika namna ya kula vyakula.

Read More