Ndani ya miaka miwili ya Rais Samia,TMA ina mengi ya kujivunia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia “Nimepoteza ardhi zaidi ya nusu heka, sina makazi ya kudumu,na hivi sasa nipo na familia yangu ya watu watano, tunajihifadhi katika chumba kimoja kilichopo karibu na eneo la nyumba yangu ilipomoka” Ni kauli ya Stephen Joel mkazi wa Kijiji Cha Malampaka kata ya Malampaka wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu ambaye…