Vijana na mapinduzi ya Tanzania – (2)

Narudia kutamka kwamba vijana ni nguvukazi mahali popote. Ni kundi kubwa kuliko la wazee katika kufanya kazi.  Ni kundi jipya lenye fikra na mawazo mapya, fahamu pevu, imara na jasiri katika kupambana na vikwazo vya uchumi au mambo ya dunia. Ukombozi wa uchumi katika nchi yetu utapatikana kutoka kwa vijana wake walioelimika, walio wachapakazi, na…

Read More

Yah: Uvumi wa mambo kwa teknolojia

Kama kawaida lazima nianze na salamu, ndio uungwana ambao sisi tuliozaliwa zamani tulifundishwa bila viboko wala matusi.  Tulifundishwa na mtu yeyote aliyekuzidi umri lakini pia tuliwasikiliza na kuwatii waliotuzidi umri kama wazazi wetu, lakini pia tulipokea adhabu kutoka kwa yeyote. Jiulizeni kizazi chenu mmekosea wapi sasa hivi? Imefikia hatua hata kumwamini mtu inakuwa mtihani, kwa…

Read More

Uamuzi wa Busara (3)

Wiki iliyopita katika kitabu hiki cha ‘Uamuzi wa Busara’, tulisoma kuhusu uamuzi wa TANU kwenda Umoja wa Mataifa (UNO). Wajumbe wa Kamati Kuu ya TANU waliandika ujumbe kwa wajumbe wa Baraza la Umoja wa Mataifa waliotumwa nchini kuja kuchunguza hali ya nchi ambavyo katika ujumbe huo walitilia mkazo mambo haya. Endelea tulipoishia… 3. Ardhi ambayo…

Read More

Utaratibu wa kisheria katika kununua ardhi

Tunazo aina kuu mbili za ardhi. Tunayo ardhi iliyosajiliwa na ardhi ambayo haikusajiliwa. Ardhi ambayo imesajiliwa ni ardhi iliyopimwa au maarufu ardhi yenye hatimiliki, wakati ardhi ambayo haikusajiliwa ni kinyume cha hiyo. Na ardhi tunamaanisha viwanja, nyumba au mashamba. Pamoja na hayo, makala ya leo itamulika ardhi iliyosajiliwa/iliyopimwa/yenye hatimiliki, wakati makala katika toleo lijalo itamulika…

Read More

MAISHA YANAPOKUPATIA LIMAU, TENGENEZA JUISI YA LIMAU (3)

Maisha ni mtihani, uufanye Ili mwanafunzi apande darasa kuna mtihani ambao atapewa ili aufanye, anaposhinda mtihani huo ndipo anapopata nafasi ya kupanda darasa, akishindwa anarudia darasa. Maisha vilevile yanatupa mitihani ambayo hatuna budi kuifanya. Anayekwepa mtihani wake hawezi kusonga mbele, maana yake anabaki pale alipo. Kuna aliyewahi kusema, usiache kujifunza, maana maisha hayajawahi kuacha kufundisha,…

Read More