Bado pigo la uchumi

Kabla janga la homa ya corona kulipuka na kuwa balaa tunaloshuhudia, nilianza kuandika makala juu ya athari za awali kabisa za kiuchumi zilizojitokeza. Nikidhani wakati huo, tofauti na sasa, kwamba athari za kiuchumi zingekuwa kubwa kuliko zile za kiafya. Kinachotokea na kuwa duniani kote kipaumbele ni kuwakinga watu dhidi ya maambukizi. Tunalazimika kuokoa maisha yetu…

Read More

Marufuku ya maji ya baraka yaleta mapya Kanisa Katoliki

Maisha yamebadilika sana kutokana na ugonjwa huu wa corona. Si maisha tu, bali pia tamaduni, mazoea na tabia za jamii. Hakika hili litapita, lakini litaacha nyuma yake kumbukumbu kadhaa mbaya na nzuri. Kwa miaka mingi Wakristo duniani wamekuwa wakitumia maji ya baraka kwa namna mbalimbali kama kisakramenti kimojawapo, kwa Wakatoliki, katika kujitakatifuza wakati wakiingia au…

Read More

Kama umemsahau Mungu, umejisahau mwenyewe (5)

Miaka kadhaa iliyopita mwanafalsafa, Glenn Tinder, aliandika makala ambayo ilijadiliwa sana kwenye  Gazeti  la Atlantic Monthly isemayo: “Je, tunaweza kuwa wema bila Mungu?” Majibu ya wachangiaji wengi yalisema: “Hapana.”  Ni kweli hatuwezi kuwa wema kwa nguvu zetu wenyewe. Hatuwezi kupenda kwa nguvu zetu wenyewe. Hatuwezi kufanikiwa kwa nguvu zetu wenyewe. Hatuwezi kwenda mbinguni kwa nguvu…

Read More

Mtoto asipowatunza wazazi apewe ‘polisi oda’

“Mheshimiwa Mwenyekiti, usipopeleka mwanao shule, utashitakiwa. Lakini mtoto akipata kazi, wewe hakutumii hela, hauwezi kumshitaki. Hauruhusiwi kwenda polisi kulalamika, hauruhusiwi kwenda dawati la jamii. Haiwezekani. “Mzazi anaposomesha mtoto wake, anapomwomba pesa au anapopiga simu, watoto hawapokei. Mheshimiwa Mwenyekiti, tunaomba Wizara ya Elimu na Wizara ya Ustawi wa Jamii watuletee sheria hapa ili mtoto asipopokea simu,…

Read More

Yah: Naamini corona nayo itapita

Nimejifungia hapa ndani wiki ya tatu sasa, ninadhani kwa sababu ninaelewa kauli za viongozi wangu juu ya afya na kujikinga dhidi ya maradhi haya yaliyojitokeza nchini.  Tumeambiwa kabisa wazee tuko kwenye hatari zaidi ya kuumwa na kupoteza maisha kama tukishikwa na corona. Sababu kubwa ni kwamba kinga zetu ni dhaifu kuliko za kundi la kuchapa…

Read More

Mafanikio katika akili yangu (24)

Toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: Akakumbuka alivyokutana naye alivyomwangalia kwa macho ya dharau na maneno machafu, hii ilikuwa baada ya Noel kumwambia yeye ni mwandishi. “Wewe mwandishi gani? Huoni waandishi wengine wanapendeza?’’ alizungumza binti yule kwa madoido na kujikweza kwingi. Sasa endelea… Noel alijiuliza akilini mwake: “Ni kwa nini alisema hivyo?” Lakini hakupata majibu…

Read More