Serikali kurejesha upya gharama za upandikizaji mimba
Na WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya imejipanga kurejea upya gharama za upandikizaji wa mimba kwa wananchi wenye matatizo ya uzazi na kutopata watoto ili kuwapunguzia mzigo wa gharama kubwa endapo watajiunga na Bima ya Afya kwa wote. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu alipotembelea Taasisi ya…