Waziri Mkuu ruhusuni biashara ya vipepeo Muheza
Miaka mitatu iliyopita katika safu hii niliandika jambo linaloweza kuonekana dogo lakini lenye athari kubwa kwa mazingira na wanadamu. Linahusu wananchi katika Hifadhi ya Asili ya Amani kuzuiwa kusafirisha vipepeo nje ya nchi. Hii si haki. Safu hii ya Mashariki ya Milima ya Usambara imeorodheshwa kama kituo cha kimataifa cha baioanuai ya mimea na inajivunia…