Olduvai inajipanga vipi kutetea hadhi yake?

Uvumbuzi wa mabaki ya watu wa kale uliofanyika sehemu mbalimbali duniani unaweka rehani hadhi ya Bonde la Olduvai ambalo hadi hivi sasa ndilo eneo linalotambulika rasmi kama sehemu ambayo binadamu wa kwanza kabisa duniani aliishi. Licha ya kuweka rehani hadhi hiyo ya Olduvai, uvumbuzi huo pia umewaweka wachunguzi wa mambo ya kale katika sintofahamu kuhusu…

Read More

Uislamu unakataza kuwa ombaomba

Ombaomba, kwa mujibu wa fasili ya Kiswahili, ni mtu anayepata mahitaji yake kwa kuzurura mitaani na kuomba kutoka kwa wapita njia.  Ombaomba ni mtu mwenye tabia ya kuitisha usaidizi kutoka kwa wengine kila mara. Kwa ujumla, ombaomba ni mtu aliyeamua kuendesha maisha yake kwa kuwategemea wengine, bila ya haki, na amefanya kuombaomba ndiyo kazi yake….

Read More

Mbowe ni sawa na Mandela, asinyanyaswe

Ninaweza kusema kuwa wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) bado wana imani na Freeman Mbowe, baada ya mkutano mkuu wake kuonyesha imani naye na kumwacha aendelee kushikilia usukani wa kukiongoza kwa kumpa tena nafasi ya kuwa mwenyekiti wake wa taifa. Huo ni ushindi uliopatikana katika mazingira yenye utata mkubwa. Ni utata unaotokana na…

Read More

KESHO YAKO

Anza kujiandaa.  Kesho inaanza leo. Panda mbegu za kesho leo. Ukweli ni kwamba kesho njema hujengwa na leo njema. Ikiwa leo njema imekosewa, hakuna kesho njema yenye mafanikio. Rais wa 36 wa Marekani, Lyndon B. Johnson anasema: “Jana si ya kwetu tena na hatuwezi kuirudisha, ila kesho ni yetu ya kushinda au kushindwa.”   Kama…

Read More

Nini maana na umuhimu wa jina la biashara

Jina unalotumia kwenye biashara yako, yaani lile uliloandika dukani kwako, kwenye gari lako na kwingineko kwa mfano MASAI SHOP, KARAMA BEAUTY, BARAKA TRADERS, K TRANSPORTERS, KITWE BUS SERVICES na kadhalika, ndilo jina la biashara.  Lakini si jina halali la biashara kama halijasajiliwa. Na si tu kuwa si halali, bali pia si lako, kwa kuwa yeyote…

Read More