Shughuli ya kuhesabu kura inaendelea nchini Kenya huku karibia asilimia 90 ya matokeo yaliyokusanywa kutoka kwenye maeneo mbalimbali yanaonyesha wagombea wawili kati ya Raila Odinga na William Ruto kuchuana vikali.

Tume ya Uchaguzi (IECB) ina siku saba za kutangaza mshindi wa kiti cha Urais.

Ili kumtangaza mshindi mgombea lazima apate asilimia 50+1 ya kura zote, pia apate asilimia 25 ya kura katika zaidi ya Kaunti 24 kati ya kaunti 47.

Waweza kufuatilia matokeo ya uchaguzi moja kwa moja hapa.

By Jamhuri