TAKUKURU: Miradi 171 yabaini kuwa na kasoro, uchunguzi waanza
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imefanya tathmini ya miradi 1,800 na kati…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameiagiza Benki kuu ya Tanzania (BOT) kuzisimamia Taasisi za kifedha kwa upande wa mabenki kuboresha riba katika mikopo wanayoitoa. Akizungumza Leo,Agosti 3, 2023, katika banda la BoT mara baada ya kutembelea mabanda ya Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika Kitaifa kwenye viwanja…
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imefanya tathmini ya miradi 1,800 na kati ya miradi hiyo 171 yenye thamani ya Sh bilioni 143.3 ilibainika kuwa na utekelezaji hafifu na hivyo kuanzisha uchunguzi. Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Salum Hamduni ameitaja miradi hiyo ilikuwa katika sekta ya ujenzi, fedha, maji , kilimo pamoja na majengo…
Na Byarugaba Innocent,JamhuriMedia, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Shemwelekwa amefanya kikao rasmi na watumishi kwa lengo la kufahamiana, kujitambulisha na kutoa mwelekeo kiutendaji. Dkt.Shemwelekwa aliyeteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan tarehe 13 Machi, 2024 kuwa Mkurugenzi wa Kibaha Mji amesifu mifumo mizuri iliyowekwa na watangulizi wake…
Na Helena Magabe, JamhuriMedia,Tarime Halmashauri ya Mji Tariime Kwa kushirikiana na Benki ya Equity wametoka semina fupi kwa vikundi mbalimbali vya huduma ndogo vilivyopo Tarime Mjini. Lengo la semina hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Blue Sky ni kuwajengea uwezo Wana vikundi juu ya kujitunzia akiba pamoja na kubaini changamoto wanazokabiliana nazo na namna…
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kiteto MAHAKAMA ya Wilaya Kiteto, imemhukumu Mambe Mohamed Mambe , Mwenyekiti wa Kijiji cha Nasetan, Kata ya Engusero, Wilaya ya Kiteto Mkoa wa Manyara. Mshtakiwa ametiwa hatiani na kuamriwa kwenda jela miaka minne au kulipa faini ya shilingi 1,000,000 kwa makosa ya kuomba na kupokea hongo kiasi cha shilingi 60,000 kinyume…