MCHANGANYIKOMajaliwa aitisha kikao kutekeleza agizo la rais Jamhuri2 years ago2 years ago01 mins Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongoza kikao hicho kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene na kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 25, 2022 ameitisha kikao cha kujadili utelekezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan alilolitoa katika maadhimisho ya Siku ya Mashujaa jijini Dodoma la kuitaka Ofisi ya Waziri Mkuu itafute eneo jingine utakapojengwa mnara mpya wa mashujaa wenye hadhi ya Makao Makuu ya nchi. Post Views: 10 Post navigation Previous: Rais Mwinyi awasili PembaNext: Mwonekano wa gazeti la Jamhuri Leo
DAWASA waanza utekelezaji agizo la Rais Samia kwa kurejesha huduma bila faini Jamhuri50 mins ago50 mins ago 0
Mwenyekiti jela kwa kupokea hongo ya 60,000, ashindwa kulipa faini ya milioni 1 Jamhuri1 day ago1 day ago 0