MWENYEKITI MPYA WA UVCCM AWASILI RASMI OFISINI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Kheri D James akisalimiana na Mtumishi wa Makao Makuu ya Umoja wa Vijana  wa CCM Bi.Sheila Alipowasili katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya Umoja wa Vijana Wa CCM Upanga Leo.
 Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana(UVCCM) Taifa Ndg.Shaka Hamdu Shaka (kwanza kushoto)akimtambulisha Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndg.Kheri D James kwa Makatibu wasaidizi wakuu alipowasili ofisi ndogo za UVCCM Upanga leo.
 Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM(UVCCM) Ndg.Shaka Hamdu Shaka akimuonyesha Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndg.Kheri D James moja ya Ofisi ya Makao makuu.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndg.Kheri D James akisaini kitabu Rasmi Kuingia Ofisini Leo Makao makuu ya Umoja wa Vijana wa CCM Upanga.
 Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Bi Thabia Mwita akisaini kitabu,.
 Viongozi wakuu wakiwa katika Ofisi ya Mwenyekiti Wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Ndg. Kheri D James akizungumza na Watumishi wa Makao Makuu ya UVCCM Upanga leo.
SOURCE: CCMCHAMA BLOG